@samuel_muigai-020

Mbosso Khan kweli mtunzi hodari zaidi. Hongera kwa wimbo ambao wavutia sana. Team Kenya upo juu zaidi.

@TonieMwangi-b6b

Mbosso Khan ata hujali we had given up on love,bora nikipenda tena nikiachwa utunge wimbo wimbo wakuniliwaza... bomboclaaat🇰🇪🔥

@Freddymedia-p7d

Nigerians 🇳🇬, tanzanian🇹🇿, Burundians🇧🇮,congolese🇨🇩, Ugandans🇺🇬, Americans🇺🇸, Zambians🇿🇲, south Africans🇿🇦, Zimbabweans🇿🇼, Rwandans🇷🇼, Namibians🇸🇸, Kenyans🇰🇪,my wicked landlord and I approve this song as our unite anthem

@njaro.the.artist

Verse ya Mbosso hatariiiii

@keith-ondoro1

Team mbosso kenya gonga likes tukisonga

@PeterNjuguna-jq9um

Kutoka Kenya Nipeni likes to big up this real GOATS Coz they always make it real,legit and lit

@evertonblinq1218

Mbosso made this song to be a hit 🔥🔥

@maragoliqueen8951

First lady from Kenya nipeeni likes zangu

@esthergrace-v2r

Mboso to the world...He's a top poet Africa has ever experienced

@jrpodcastmediaandentertain6801

ngoma ni ya d voice but honestly mbosso's greatness just overshadowed the guy....greatest bongo lyricist of his generation

@luckyluchano1

Mbosso ni fundi wa mafundi kwa kutunga habahatishi. Yarabi akujalie maisha marefu🎉❤

@CalvenMichael

WOW!! Fantastic song Much love from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 ila Mbosso wee Mbosso!!  Tisha San bloodie

@ThomasMuhanga

Sema mbosso anajua sanaa kibayaa zaidi kwenye collaboration zake shall out kwakee

@antonyyaa7632

Mbosso apepeza beramu la lugha kimashairi, shabash kwa kazi kuntu mbosso

Wakenya hoyeeeee za mbosso

@DearieViv

This Mbosso of a guy can sing for me, and D'Voice did a great job as well!
Much love from Uganda ❤

@Sanzuvoice

Tusionee wivu kazi ya dogo D voice ni kubwa sana mbona kaimba tu vizuri iv mnaopinga mnataka aimbaje kwa mfano
 Mi nasema ukweli D voice katisha sana hapa kwenye hii ngoma sitafuti like wala comment ila D voice katisha sana❤🎉

@daudimwanza

Wale wako hapa baada ya Konde kuinua mkono verse ya Mbosso..waweke likes zao hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪

@KipkorirDuncan-k2s

Nani anangoja part ya mboso kama mimi😅😅 weka like 😂😂

@mchongowakilimo

HONGERA SANA BLOOD!!
You are born to Win….
Keep the fire burning bro.

@lwitcofredy4013

hii nyimbo inaonyesha utofauti wa mbosso na wasanii wote wa wasafi, mbosso salute kakakaka