@josephatmoracha5755

Team 2024 lets gather here ❤ and agree that this music will never get old ❤.

@keshapiter5338

Kama unasikiliza huu wombo 2024 naomba like yako

@johntheneat

Hizi nyimbo hata sisi vijana wa 2003 zinatufundisha kuheshimu wazazi na shemeji zetu kupenda na  kutunza familia zetu mke na watoto asanteni sana  wazee wetu kama bado unasikiliza hadi leo 2023 tupia like yako

@MATEOJOSEPH-nc8gf

Kama ww umetazama huo wimbo 2024 tujuane Kwa Like

@wambuicharity

Tiktok brought me here, 2024 ❤️❤️🔥

@philemonmichael3527

Kama wewe bdo unasikiliza huu wimbo Saiv nipe dole 2021

@joseckmundara4505

Les Wanyika - Amigo

Tabia zako zimeshakupasae
Mke na watoto wamekimbia
Tulikukanya chunga heshima yako, 
Mke na watoto wako nyumbani,
Ndio hazina ya maisha yako.... Amigo, Amigo

Wakati tunakupa ushauri we,
Uliona sisi watu fitina,
Twaingilia mambo yako ya ndani,
Na kwamba tukuache kama ulivyo,
Sababu wewe bingwa wa maisha... Amigo, Amigo

Thamani ya mke ni mavazi,
kula vizuri kulala vizuri
ndio siri ya kudumisha ndoa
mtaishi kwa raha amigo
watoto wako wapeleke shule,
kwa manufaa yao ya baadaye,
Elimu ndio zawadi muhimu
Kwa watoto wako, Amigo
Badala yake mabo yote hayo,
kwa mkeo imekuwa ni ndoto
Maisha yake ya kubahatisha
Na kazi unfanya, Amigo
Amechoka mwisho kakimbia
umebaki kulaumu wenzio
Lawama zako hazina msingi, bembeleza mkeo akurudie!

Majirani na rafiki tulishakukanya sana Amigo,
Heshimu mke na watoto wako,
Heshimu baba na mama nyumbani,
Na wakwe zako uwape heshima,
Shemeji zako pia waheshimu,
Tukawa sisi wabaya kwako,
Shauri wetu hauna maana,
Tukwache kama ulivyo Amigo,
Sababu wewe ni bingwa wa maisha
Mahari umeshalipa Amigo,
Mkeo huna habari naye,
Na leo yamekufika mambo,
Ubingwa wako na mke amekukimbia Eh! x4

@salimiddi1994

Wanikumbusha zamani nikiwa na marehem mama yangu hapo nilikua naenda shamba asubuhi  na radio 1992🇹🇿

@mercyravoga6661

If you still listening to  Amigo  kindly show some love, when days were days😍

@tanzanianboy

Ahsanteni sana George Peter Kinyonga, Wilson Peter Kinyonga, John Ngereza, Issa Juma, 'Prof' Omar na wengineo wengi kwa kuiwakilisha vema Tanzania mkiwa Kenya ktk bendi mbali mbali za Wanyika. Ahsanteni sana ndugu zetu Wakenya kwa kuwaunga mkono na kuishi vema na ndugu zetu hawa wa Tanga na Arusha. East Africa pamoja 🥰😍

@dianatonny1307

Mwenye alisema muziki ni dawa,,,nasema rhumba ni dawa kweli listening in 2019 awesome rhumba wapi likes za rhumba hapa jamani

@pascolulangalila2688

Kama wewe hii ngoma haipiti wiki au mwez hujaickiliza bac, kwa moyo mkunjufu kabisa "like'

@mourinengicha9751

My mom loved this song Rest In peace mama till we meet again
She used to tell my brothers .. mkioa heshimuni wake zenu
😭😭😭😭😭😭

@AshaMbaraka-pv3zf

Haya happy new year wadau wangu siwajui ila nawapenda sana 🎉mana tunapenda mambo mazuri kama haya kama uko hai 2025 nakutakia maisha mazuri yenye baraka tele

@animalsecretsuncovered

Men teaching other men about the right family values through music. Legendary.

@jaydailytrends

Hadithi fupi ya Mapambazuko ya Machweo❤❤ nimeifunzia wanafunzi wangu 2025.

@michaelibrae3701

Born 1991 but this music really give meaning to life.motivational indeed

@angiekings5187

It’s 2023 still enjoying good music 🎶 and learning ❤

@emmanuelnoah5790

nakubali San mziki wa zamn,old is gold,ni kweli kam umpendae hii ngom like

@emmanueltoroitich8244

Am telling u guys nipe kidole kaa uko apa, sipanduki ng'ooo,huu wimbo unanifika liver