Hakika ni wakati wangu, asante kwa wimbo mzuri dada. From your first wimbo mpk leo nazidi kukuelewa, jtahidi tu kuutunza wokovu wako utafika mbali.
Mung azidi kukuinua.nafurahi na nafarijika sana.watu wanaponywa nafsi kupitia wimbo na unawahimiza kuwa n'a moyo wa shukurani
Kwl Bwana kakubadilisha i just remember that girl from BSS n now she is here serving God ,dada yng Mungu akuinue kwa viwango vya juu zaidiii ,ukazidi kua ushuhuda mzr kwa vijana wengi , God bless u sister u inspire me sanaa
Tunamshukuru Mungu kwa Wema wake Katika Maisha hata pale tunapopoteza njia Bado yuko nasi ama kwa hakika tunapaswa kuja kwake kwa moyo wa shukurani
BWANA azidi kukutunza dear Bella you are really blessed tunakuombea ulindwe na nguvu za MUNGU kwa jina la YESU
eeh baba umeiondoa aibu umenibadlilisha umenipa asante....asanteee YESU
Truly blessed, where have I been? Just discovered Bella and her songs through Trace Gospel. Powerful stuff. Glory be to God.
Kombo you bless me & when I look at your testimony I consider my self
Dad Bella u blessed me a lot ,wimbo mzur San niwakat wangu kwel keep on going cct❤️❤️
Safiiii Sana ujumbe mzuri sanaa Sauti Nzur production nzima ya nyimbo ipo vzur be blessed all mliohusika
Ujumbe mzito sana hongera sana hakika MUNGU mwema akuinue na kupitia wewe wasiomjua wamjue huyu kuwa anasamehe nakubadilisha . Songa mbele usikatishwe tamaa kwa lolote simama imara.
I see were you are going, what a powerfull song, GOD bless you and protect you abundantly.
Thank you jesus ❤for your mercy and grace
I saw this song yesterday and I did not get the name of the singer or of the song. Aki sema kuitafuta na almost all the words in the lyrics but finally! I can't believe it has been around for 7 months. I looooove the song and the singer, God's beauty. God bless you so much gal. You are amazing
Thanks God for everything you did for her
Myoyo yetu yapaswa kuwa na shukrani Kwa mungu, maana tumetolewa wambali had Leo bado tunaitwa majina ,,, jina la mungu lihimidiwe kweli
Hongera sana mdogo wangu Bella...nimebarikiwa na wimbo huu.. 🇹🇿
Beautiful song Bella. Lotsa love from Kenya, no. 1 fan all the way up. Please can I be on your next video 🙏🙏😘😘😘🙌🙌
Waaah mungu akuinue zaidi Bella....ila plz naomba kama naweza kupata mawasiliano yako tuzungumze
@lauralkinyaha